Saturday, May 14, 2011

SHERIA ZA TAMASHA LA NYAMA CHOMA


SHERIA NA KANUNI ZA TAMASHA LA NYAMA CHOMA 2011.

1. Usafi na kanuni za afya lazima zizingatiwe kwa vyovyote, kutakuwa na afisa afya atayekagua mabanda yote na kuhakikisha vyakula vyote vinatayarishwa kwa hali ya usafi, endapo utakutwa unapuuzia hili, utatolewa kama mshiriki bila kurudishiwa kodi ya banda.

2. Mshiriki anatakiwa kufika kwenye tamasha na vitendea kazi vyote vya matayarisho, vikiwemo vyombo vya kuhifadhia chakula na vya kuuzia wateja.


3. Mshiriki haruhusiwi kuuza vinywaji vya aina yoyote ile.

4. Mshiriki anatakiwa aanze matayarisho ya uaandaaji na upishi masaa sita kabla, geti litafunguliwa saa 5 na nusu asubuhi, hivyo masaa sita kabla.

5. Mshiriki atazingatia usafi wakati wote wa tamasha, na atashiriki katika kuhakikisha banda lake limeachwa safi baada ya shughuli.

6. Mshiriki anatakiwa aahidi kuwa na uwezo wa kilo 60 za Nyama, ambacho ni kima cha chini, unaweza kuja na zaidi ya hiyo. KITIMOTO HAKIRUHUSIWI.

REGISTRATION FORM THE NYAMA CHOMA FESTIVAL

TAMASHA LA NYAMA CHOMA 2011
JUMAMOSI TAREHE 4 JUNI 2011
VIWANJA VYA POSTA, KIJITONYAMA
SAA 11hrs00- 19hrs00

Fomu ya usajili na kukodisha banda la Nyama choma.


JINA MCHOMA NYAMA………………………………………

SIMU NA ANUANI…………………………………………

WILAYA……………………………………………….

IDADI YA BANDA……………………………………………

KIASI CHA NYAMA ZITAKAZOCHOMWA (Kgs)…………..
(kiasi cha chini ni 60kgs)

AINA ZA NYAMA ZITAZOCHOMWA……………………….

MIMI………………………………..KWA NIABA YA……………….. KAMA MSHIRIKI WA TAMASHA LA NYAMA CHOMA NAKUBALI SHERIA NA KANUNI ZA TAMASHA LA NYAMA CHOMA, NAAHIDI KUUZA CHAKULA TU, NA SI VINYWAJI.


JINA……………………………..SAHIHI………………………